Monday, August 11, 2014

Mavazi ya asili barani Africa

katika bara la Africa kuna nchi nyingi, na ndani ya nchi hizo kuna tamaduni zinazotofautisha nchi  hizo ili  kuzifanya  kuwa za kipekee. Katika swala zima la mavazi, kila nchi ina vazi lao la asili ambapo huwafanya kuonekana wa kipekee wawapo nje ya nchi yao.
vazi la nchini Ghana 


vazi la nchini Nigeria 


vazi la South Africa



 vazi la Zambia

hatuna budi kuziehimu, kuzitunza, na kuziendeleza  tamaduni za nchi, kwani kwa kufanya hivyo hufanya nchi husika  kuonekana ndani na nje ya nchi 

0 comments:

Post a Comment