Monday, August 11, 2014

Mavazi ya asili barani Africa

katika bara la Africa kuna nchi nyingi, na ndani ya nchi hizo kuna tamaduni zinazotofautisha nchi  hizo ili  kuzifanya  kuwa za kipekee. Katika swala zima la mavazi, kila nchi ina vazi lao la asili ambapo huwafanya kuonekana wa kipekee wawapo nje ya nchi yao.
vazi la nchini Ghana 


vazi la nchini Nigeria 


vazi la South Africa



 vazi la Zambia

hatuna budi kuziehimu, kuzitunza, na kuziendeleza  tamaduni za nchi, kwani kwa kufanya hivyo hufanya nchi husika  kuonekana ndani na nje ya nchi 

Related Posts:

  • njia asili ya urembo Haya warembo kuna njia nyingine ya asili ya kuufanya uso wako kuwa laini na wenye kuvutia, njia hiyo si nyingine bali ni matumiz ya papai  jinsi ya kutumia  Chukua papai likate kisha toa mbegu alafu  lis… Read More
  • warembo Nani ambaye alikuvutia zaidi kati ya hawa warimbwende wa Tanzania jackline ntuyabaliwe Miss Tanzania 2000   Happyness magese Miss Tanzania 2001 Faraja Kotta Miss Tanzania 2004 !-- Blogger autom… Read More
  • nani mkali kwenye mavazi Mda wenu sasa wa kuangalia , nani mkali katika suala  zima la mavazi kati ya wasanii wawili,  nick minaji na Rihhana , au nani amekuvutia zaidi kati yao Rihhana akiwa katika pozi na mavazi yake   … Read More
  • viatu pamoja na mikoba kwa wadada na wakaka haya sasa wakaka kwa wadada jionee disaini ya viatu vilivyodariziwa pamoja na mikoba  … Read More
  • urembo  je mwajua  kama , Ukisugua kitunguu katika ngozi yako au katika nguo zako ni namna nyingine ya kukabiliana na wadudu? mda ndo huu sasa changamkieni wadada  chanzo urembo… Read More

0 comments:

Post a Comment