je mwajua kama , Ukisugua kitunguu katika ngozi yako au katika nguo zako ni namna nyingine ya kukabiliana na wadudu? mda ndo huu sasa changamkieni wadada
urembo
je mwajua kama , Ukisugua kitunguu katika ngozi yako au katika nguo zako ni namna nyingine ya kukabiliana na wadudu? mda ndo huu sasa changamkieni wadada
chanzo urembo…Read More
Mavazi ya asili barani Africa
katika bara la Africa kuna nchi nyingi, na ndani ya nchi hizo kuna tamaduni zinazotofautisha nchi hizo ili kuzifanya kuwa za kipekee. Katika swala zima la mavazi, kila nchi ina vazi lao la asili ambapo huwa…Read More
mibano ya nywele
kwa mdada yeyote mwenye nywele ndefu ama ameshonea nywele bandia (weaving ) na umekosa mbano wa nywele zako, Dfashion inawapa mibano mbalimbali kwa ajili ya nywele zenu. kazi ni kwenu kuchagua mbano
utakaoupenda …Read More
nani mkali kwenye mavazi
Mda wenu sasa wa kuangalia , nani mkali katika suala zima la mavazi kati ya wasanii wawili, nick minaji na Rihhana , au nani amekuvutia zaidi kati yao
Rihhana akiwa katika pozi na mavazi yake
…Read More
warembo
Nani ambaye alikuvutia zaidi kati ya hawa warimbwende wa Tanzania
jackline ntuyabaliwe Miss Tanzania 2000
Happyness magese Miss Tanzania 2001
Faraja Kotta Miss Tanzania 2004
!-- Blogger autom…Read More
0 comments:
Post a Comment