Thursday, August 21, 2014

Friday, August 15, 2014

maids dress

kwa msichana yeyote ambaye anatafuta mshono kwa ajili ya mates, Dfashiontz imewaletea mishono mbalimbali kwa ajili ya mates  ...

Tuesday, August 12, 2014

mibano ya nywele

kwa mdada yeyote mwenye nywele ndefu ama ameshonea nywele bandia (weaving ) na umekosa mbano wa nywele zako, Dfashion inawapa mibano mbalimbali kwa ajili ya nywele zenu. kazi ni kwenu kuchagua mbano...

Monday, August 11, 2014

Mavazi ya asili barani Africa

katika bara la Africa kuna nchi nyingi, na ndani ya nchi hizo kuna tamaduni zinazotofautisha nchi  hizo ili  kuzifanya  kuwa za kipekee. Katika swala zima la mavazi, kila nchi ina vazi...

Sunday, August 10, 2014

warembo

Nani ambaye alikuvutia zaidi kati ya hawa warimbwende wa Tanzania jackline ntuyabaliwe Miss Tanzania 2000   Happyness magese Miss Tanzania 2001 Faraja Kotta Miss Tanzania ...

Thursday, August 7, 2014

nani mkali kwenye mavazi

Mda wenu sasa wa kuangalia , nani mkali katika suala  zima la mavazi kati ya wasanii wawili,  nick minaji na Rihhana , au nani amekuvutia zaidi kati yao Rihhana akiwa katika pozi...

Monday, August 4, 2014

urembo

 je mwajua  kama , Ukisugua kitunguu katika ngozi yako au katika nguo zako ni namna nyingine ya kukabiliana na wadudu? mda ndo huu sasa changamkieni wadada  chanzo ure...

Sunday, August 3, 2014

njia asili ya urembo

Haya warembo kuna njia nyingine ya asili ya kuufanya uso wako kuwa laini na wenye kuvutia, njia hiyo si nyingine bali ni matumiz ya papai  jinsi ya kutumia  Chukua papai likate kisha...

Saturday, August 2, 2014

Friday, August 1, 2014

vitenge ndo habari ya mujinii

Jionee mishono mbalimbali ya vitenge ya 2014 yenye mvuto na yenye kupendeza, huu ndio mwaka wa kubadilika achana na mambo ya mitumba na uhamie kwenye disaini mpya ya mavazi ya vitenge   ,...