kwa mdada yeyote mwenye nywele ndefu ama ameshonea nywele bandia (weaving ) na umekosa mbano wa nywele zako, Dfashion inawapa mibano mbalimbali kwa ajili ya nywele zenu. kazi ni kwenu kuchagua mbano...
katika bara la Africa kuna nchi nyingi, na ndani ya nchi hizo kuna tamaduni zinazotofautisha nchi hizo ili kuzifanya kuwa za kipekee. Katika swala zima la mavazi, kila nchi ina vazi...
Nani ambaye alikuvutia zaidi kati ya hawa warimbwende wa Tanzania
jackline ntuyabaliwe Miss Tanzania 2000
Happyness magese Miss Tanzania 2001
Faraja Kotta Miss Tanzania ...
Mda wenu sasa wa kuangalia , nani mkali katika suala zima la mavazi kati ya wasanii wawili, nick minaji na Rihhana , au nani amekuvutia zaidi kati yao
Rihhana akiwa katika pozi...
je mwajua kama , Ukisugua kitunguu katika ngozi yako au katika nguo zako ni namna nyingine ya kukabiliana na wadudu? mda ndo huu sasa changamkieni wadada
chanzo ure...
Haya warembo kuna njia nyingine ya asili ya kuufanya uso wako kuwa laini na wenye kuvutia, njia hiyo si nyingine bali ni matumiz ya papai
jinsi ya kutumia
Chukua papai likate kisha...
Jionee mishono mbalimbali ya vitenge ya 2014 yenye mvuto na yenye kupendeza, huu ndio mwaka wa kubadilika achana na mambo ya mitumba na uhamie kwenye disaini mpya ya mavazi ya vitenge
,...